image in blog

image in blog
mindu

Thursday, January 30, 2014

SIKU YA SHERIA KUAZIMISHWA TAR 3TH FEBRUARY

Siku ya sheria yatarajiwa kuazimishwa tarehe 3 mwezi wa pili nchini kote ambako watu wanatakiwa kusheherekea siku hiyo kwa kuzitambua sheria na haki zao ambazo zitawafanya waishi na kujua nini haki na ni ipi inayomfanya binadamu/mtanzania kuwa na amani ya kutembea na kufanya shughuli zake bila ya ghubudha ambayo haistairi, kwani sheria na kufanya shughuli mahali popote nchini ni haki ya kila mtanzania... hivyo tunahitajika kusoma na kujua haki na sheria ambayo itakulinda popote uendako

No comments: